Masomo ya Kilimo

kilimo cha kabichi kichwa kimekomaa

Jinsi ya kulima kabichi (cabbage) kwa mafanikio

Ni rahisi kulima kabichi na ina mzunguko mfupi wa ukuaji, kwa kawaida hukomaa ndani ya miezi 3 hadi 4, na kuifanya kuwa chaguo la kuvutia kwa wakulima wanaotafuta faida ya haraka kwenye uwekezaji.

Uvunaji wa viazi mviringo

Kilimo cha Viazi mviringo na Faida zake kwa Wakulima Tanzania

Viazi mviringo ni miongoni mwa mazao makuu kumi ya chakula nchini Tanzania, na ni zao la tatu baada ya mahindi na mpunga kiuzalishaji. Kiasi kikubwa cha viazi mviringo kinazalishwa katika ukanda wa nyanda za juu kusini unaojumuisha mikoa ya; Njombe, Mbeya, Songwe na Iringa.

Kanuni za kilimo bora Tanzania

Kanuni 12 za kilimo bora chenye tija Tanzania

Kanuni za kilimo bora ni seti ya miongozo au taratibu za kisayansi zilizofanyiwa majaribio kwa muda mrefu na ambazo zimekubalika zitumike katika kuboresha uzalishaji wa mazao. Kanuni za kilimo bora ni muhimu sana katika kuhakikisha kilimo kinakuwa na tija na kusaidia kuboresha maisha ya wakulima na jamii kwa ujumla.

Bamia aina ya clemson spineless

Kilimo cha Bamia: Muongozo wa mafanikio

Bamia ni zao linalolimwa katika maeneo mengi nchini kutokana na umuhimu wake kwenye lishe na kuongeza kipato. Baadhi ya maeneo yanayolima zao la bamia kwa Tanzania ni pamoja na mikoa ya Morogoro, Dodoma, Tabora, Pwani na Mbeya.

mbegu za mihogo

Aina Bora 19 za Mbegu za Mihogo

Zaidi ya aina 45 za mbegu za mihogo zinajulikana hapa nchini. Zaidi ya 80% ya mihogo ni ya asili. Hivyo wakulima wengi hawatumii mbegu bora za mihogo.

magonjwa-ya-mihogo-batobato

Wadudu na Magonjwa ya Mihogo

Kilimo cha zao la muhogo kinazongwa na changamoto ya wadudu na magonjwa ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kiasi cha mavuno, na ubora wa muhogo.

nyanya-imeoza-kitako

Ugonjwa wa Nyanya Kuoza Kitako

Tatizo la nyanya kuoza kitako ni hali ya kifiziolojia inayosababishwa na uchache wa au mmea kushindwa kufyonza madini ya chokaa (Calcium) kwenye udongo ...

Sumu ya panya na vifungashio vyake

Jinsi ya Kudhibiti Panya Shambani

Ili kudhibiti panya waharibifu wa mazao inashauriwa kutumia mbinu za aina tofauti kwa wakati mmoja ili kuongeza ufanisi wa kuwadhibiti. Chakufanya ni ...