Never Miss an Update
We will send you farming tips, tricks and available eBooks offers.
What we do
Je! Unapambana kuongeza uzalishaji na faida katika kilimo chako?
Huduma yetu ya ushauri kilimo itakupa mwongozo juu ya namna sahihi ya kupanga shamba lako, kuchagua nyenzo na pembejeo bora za kilimo, usimamizi wa mazao katika kila hatua, na uchambuzi wa gharama za uzalishaji na faida.
Kwa huduma yetu ya ushauri, utafanikiwa kuboresha shamba lako, kongeza mavuno na hatimaye faida.
Panga kushaurina nasi leo na uanze kuboresha shamba lako kwa mikakati yetu madhubuti.
Utashauriwa na wataalam wabobezi katika kilimo, na sio watu tu. Wataalam wetu wana ujuzi na uzoefu wakutosha kwenye sekta ya kilimo. Hivyo, upo kwenye mikono salama.
Tutazingatia malengo yako na mazingira yako na rasilimali ulizonazo katika ushauri kilimo tutakao kupa. Huduma yetu ni ya kipekee kulingana na mahitaji yako.
Kwa kutumia mbinu zetu zilizothibitika, tutakusaidia kuongeza uzalishaji kwa kutumia gharama kidogo kadri itakavyowezekana.
SHauriana nasi leo
FARMING GUIDES
Ungependa kuboresha ujuzi wako wa kilimo cha Alizeti au mazao mengine?
Miongozo yetu ya kilimo biashara ina kila kitu unachohitaji: kuanzia kuandaa shamba hadi kuvuna pamoja na uchambuzi kamili wa gharama ili kukusaidia kuelewa gharama za uzalishaji katika kila hatua na mapato yanayotarajiwa baada ya kuvuna.
Fanya maamuzi sahihi leo, nunua miongozo hii uwe mtaalam katika kilimo chako.
FARMERS' ENGAGEMENT
Kilimo ni maisha yetu.
Kwa sababu hiyo tumeunda jukwaa maalum ambalo linatukutanisha wadau mbalimbali wa kilimo. Kwenye jukwaa hili tunajadili fursa na changamoto zilizopo kwenye kilimo.
TESTIMONIALS
Miongozo yenu imenisaidia [sana] katika kuwashauri wakulima na maafisa kilimo wenzangu ninaofanya nao kazi. [Ahsanteni sana Mogriculture Tz].
JACQUELINE MAKUNGU
/ Afisa Kilimo Mkoa, Rukwa
Elimu mnayotoa inanisaidia, nimepiga hatua kubwa sana kwenye kilimo. Tangu nimejiunga nanyi nimekua nikilima kisasa sana ilhali sikuwa hivyo kabla, kwa hivyo nimenufaika sana.
WINIFRIDA SILAYO
/ Mkulima, Mfanyabiashara
Elimu mnayotoa inanisaidia namna ya kuendesha kilimo kwa kuzingatia kanuni bora za matumizi ya mbolea na madawa, hasa wakati wa kupanda na kuhudumia mazao ambayo yameshaanza kutoa matunda.
AIDANI KAZOBA
/ Mkulima
We will send you farming tips, tricks and available eBooks offers.