Ongeza mavuno ya mazao yako kwa ushauri wa kitaalam na mbinu bora za kilimo zilizothibitika

What we do

Tutakusaidia kuongeza uzalishaji wa mazao yako

Je! Unapambana kuongeza uzalishaji na faida katika kilimo chako?

Huduma yetu ya ushauri kilimo itakupa mwongozo juu ya namna sahihi ya kupanga shamba lako, kuchagua nyenzo na pembejeo bora za kilimo, usimamizi wa mazao katika kila hatua, na uchambuzi wa gharama za uzalishaji na faida.

Kwa huduma yetu ya ushauri, utafanikiwa kuboresha shamba lako, kongeza mavuno na hatimaye faida.

Panga kushaurina nasi leo na uanze kuboresha shamba lako kwa mikakati yetu madhubuti.

Kutoka kwa Wataalam

Utashauriwa na wataalam wabobezi katika kilimo, na sio watu tu. Wataalam wetu wana ujuzi na uzoefu wakutosha kwenye sekta ya kilimo. Hivyo, upo kwenye mikono salama.

Kwa ajili yako tu

Tutazingatia malengo yako na mazingira yako na rasilimali ulizonazo katika ushauri kilimo tutakao kupa. Huduma yetu ni ya kipekee kulingana na mahitaji yako.

Mavuno mengi, gharama kidogo

Kwa kutumia mbinu zetu zilizothibitika, tutakusaidia kuongeza uzalishaji kwa kutumia gharama kidogo kadri itakavyowezekana.

SHauriana nasi leo

FARMING GUIDES

Vitabu vya Kilimo

Mwongozo wa Kilimo cha Alizeti

Ungependa kuboresha ujuzi wako wa kilimo cha Alizeti au mazao mengine?

Miongozo yetu ya kilimo biashara ina kila kitu unachohitaji: kuanzia kuandaa shamba hadi kuvuna  pamoja na uchambuzi kamili wa gharama ili kukusaidia kuelewa gharama za uzalishaji katika kila hatua na mapato yanayotarajiwa baada ya kuvuna.

Fanya maamuzi sahihi leo, nunua miongozo hii uwe mtaalam katika kilimo chako.

FARMERS' ENGAGEMENT

Jukwaa la Mkulima

Kilimo ni maisha yetu.

Kwa sababu hiyo tumeunda jukwaa maalum ambalo linatukutanisha wadau mbalimbali wa kilimo. Kwenye jukwaa hili tunajadili fursa na changamoto zilizopo kwenye kilimo.

TESTIMONIALS

Wanasemaje?

"


Miongozo yenu imenisaidia [sana] katika kuwashauri wakulima na maafisa kilimo wenzangu ninaofanya nao kazi. [Ahsanteni sana Mogriculture Tz].


JACQUELINE MAKUNGU

/ Afisa Kilimo Mkoa, Rukwa

"


Elimu mnayotoa inanisaidia, nimepiga hatua kubwa sana kwenye kilimo. Tangu nimejiunga nanyi nimekua nikilima kisasa sana ilhali sikuwa hivyo kabla, kwa hivyo nimenufaika sana.


WINIFRIDA SILAYO
Mkulima, Mfanyabiashara

"


Elimu mnayotoa inanisaidia namna ya kuendesha kilimo kwa kuzingatia kanuni bora za matumizi ya mbolea na madawa, hasa wakati wa kupanda na kuhudumia mazao ambayo yameshaanza kutoa matunda.


AIDANI KAZOBA
Mkulima

Masomo ya Kilimo Bora

Never Miss an Update

We will send you farming tips, tricks and available eBooks offers.

>