Mogriculture Tz

  • Home
  • Jukwaa
  • Consultation
  • Vitabu Vya Kilimo
  • About Us
  • Contact

Jifunze Kilimo Bora

Mazao ya Mizizi

Jinsi ya kufanya Kilimo Bora cha Karoti

Karoti ni zao la jamii ya mzizi. Karoti ni aina ya mboga mboga yenye vyanzo vingi vya calcium, iron na wingi wa vitamin B. kilimo cha karoti huhitaji ...

Read more
Wadudu na Magonjwa

Ugonjwa wa Nyanya Kuoza Kitako

Tatizo la nyanya kuoza kitako ni hali ya kifiziolojia inayosababishwa na uchache wa au mmea kushindwa kufyonza madini ya chokaa (Calcium) kwenye udongo ...

Read more
Mboga mboga na matunda

Jinsi ya Kuandaa na Kutunza Kitalu cha miche ya mbogamboga

Ni muhimu kujua jinsi ya kuandaa na kutunza kitalu cha miche ya mbogamboga kwa sababu mazao mengi ya mboga mboga huhitaji kuanzia kitaluni ili yaweze ku...

Read more
jukwaa la mkulima
Kilimo Bora

Karibu Jukwaa la Mkulima

Jukwaa la Mkulima ni nini? Hili ni jukwaa ambalo tumeliandaa kwa ajili ya mijadala na hoja za kilimo baina ya wakulima, wafugaji na wataalam wa kilimo na mifugo

By Mtalula Mohamed, 3 months3 months ago
mvua za vuli 2019
Hali ya Hewa

Utabiri wa Mvua za Vuli 2019

Katika msimu wa mvua za vuli 2019, maeneo mengi ya nyanda za juu kaskazini mashariki pamoja na pwani ya kaskazini yanatarajiwa kuwa na mvua za wastani hadi…

By Mtalula Mohamed, 3 months3 months ago
mbegu za mihogo
Mazao ya Mizizi

Aina Bora 19 za Mbegu za Mihogo

Zaidi ya aina 45 za mbegu za mihogo zinajulikana hapa nchini. Zaidi ya 80% ya mihogo ni ya asili. Hivyo wakulima wengi hawatumii mbegu bora za mihogo.

By Mtalula Mohamed, 10 months3 months ago
magonjwa-ya-mihogo-batobato
Mazao ya Mizizi

Wadudu na Magonjwa ya Mihogo

Kilimo cha zao la muhogo kinazongwa na changamoto ya wadudu na magonjwa ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kiasi cha mavuno, na ubora wa muhogo.

By Mtalula Mohamed, 10 months3 months ago
alama ya Y kwenye kiwavijeshi
Wadudu na Magonjwa

Wafahamu viwavi jeshi vamizi wa mazao (Fall ArmyWorm)

Viwavi jeshi hushambulia aina za mimea/mazao zaidi ya 80. Hupendelea zaidi mimea jamii ya nafaka kama mahindi, mtama, mpunga, ngano na miwa na mbogamboga.

By Mtalula Mohamed, 10 months10 months ago
kitalu cha mbegu ya mpunga
Mazao ya nafaka

Jinsi ya Kuandaa na Kutunza Kitalu cha Mbegu ya Mpunga

Kabla ya kupanda, mbegu ya mpunga inatakiwa kuandaliwa vizuri ili kuirahisishia kuota kwa kiwango kizuri ili mkulima apate miche bora ya kupandikiza baadae.

By Mtalula Mohamed, 11 months11 months ago
Kunyunyiza viuatilifu
Wadudu na Magonjwa

Namna Sahihi ya Matumizi ya Viuatilifu

Viuatilifu ni sumu inayotumika kuua, kuangamiza, kufukuza, au kuzuia visumbufu katika mimea.Visumbufu vya mimea vyaweza kuwa wadudu, fangasi, magugu, …

By Mtalula Mohamed, 11 months11 months ago
Ramani ya mvua za vuli - 2018
Hali ya Hewa

Mrejeo wa Mvua za Vuli 2018

Mvua za Vuli zinazoendelea katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka zilianza mwezi Septemba, hususani katika maeneo machache ya Ukanda wa …

By Mtalula Mohamed, 1 year1 year ago

Posts navigation

1 2 … 7 Next
Search
Trending Posts
  • Kilimo cha Kisasa cha Mahindi
  • Kilimo cha Kisasa cha Mpunga
  • Kanuni za Kilimo Bora cha Alizeti Tanzania
  • Mbinu bora za kilimo cha Nyanya 2019
  • Fahamu Kilimo Bora cha Pilipili Hoho - 1
Recent Posts
  • Karibu Jukwaa la Mkulima
  • Utabiri wa Mvua za Vuli 2019
  • Aina Bora 19 za Mbegu za Mihogo
  • Wadudu na Magonjwa ya Mihogo
  • Jinsi ya kufanya Kilimo Bora cha Karoti
Blog Topics
  • Hali ya Hewa (4)
  • Jamii ya Mikunde (5)
  • Kilimo Biashara (2)
  • Kilimo Bora (3)
  • Mazao ya Mizizi (5)
  • Mazao ya nafaka (5)
  • Mazao ya Viungo (7)
  • Mbegu Bora (4)
  • Mboga mboga na matunda (21)
  • Mbolea (3)
  • Ufugaji wa Kuku (5)
  • Wadudu na Magonjwa (13)

  • About Us
  • Blog
  • Consultation
  • Contact
  • Vitabu Vya Kilimo
Hestia | Developed by ThemeIsle