Ushauri Kilimo

Je! Unapambana kuongeza uzalishaji na faida katika kilimo chako?

Huduma yetu ya ushauri kilimo itakupa mwongozo juu ya namna sahihi ya kupanga shamba lako, kuchagua nyenzo na pembejeo bora za kilimo, usimamizi wa mazao katika kila hatua, na uchambuzi wa gharama za uzalishaji na faida.

Kwa huduma yetu ya ushauri, utafanikiwa kuboresha shamba lako, kongeza mavuno na hatimaye faida.

Weka oda yako hapa leo na uanze kuboresha shamba lako kwa mikakati yetu madhubuti.

Chagua
  • Ushauri wa mara moja - TZS 5,000
  • Ushauri na Kufika shambani - TZS 50,000
  • Ushauri wa msimu mzima - TZS 200,000
0 of 350 

FAQ

Ushauri Kilimo ni nini?

Ushauri Kilimo ni huduma ya ushauri wa kitaalam ambayo tunatoa wakati wowote utakaohitaji. Utatueleza shida yako kisha tutazungumza nawewe juu ya njia bora za kitaalam za kutatua changamoto yako. 

Ni bure au unalipia?

Huduma hii ni ya kulipia. Kwa mawasiliano ya kawaida [yasiyo husiana na huduma ya ushauri kilimo], bofya hapa tafadhali.

Gharama za ushauri kilimo zikoje?

Huduma hii inatolewa kwa namna tatu ...

Ushauri wa mara moja [TZS 5000]: ni kwa wale wanaotaka ufumbuzi wa changamoto ya wakati huo tu. Huduma hii inatolewa kwa njia ya simu.

Kufika shambani [TZS 50,000]: ni kwa ajili ya wale wanaotaka kutembelewa mashamba yao na kupata ushauri wa kitaalam wakiwa site. Gharama hii ni nje ya usafiri kwenda na kurudi shambani.

Ushauri wa msimu mzima [TZS 200,000]: ni kwa ajili ya wale wanaotaka kushauriana nasi katika hatua mbalimbali za uzalishaji wa mazao yao katika kipindi chote cha uzalishaji wa zao husika. Hii haihusiani na gharama za usafiri kwenda na kurudi shambani panapohitajika.

Je wewe itakufaa?

Huduma hii inamfaa mdau yeyote wa kilimo anayehitaji mwongozo wa kitaalam katika kilimo. Kama unajishughulisha na kilimo basi huduma hii inakufaa.

>