Masomo ya Kilimo

Mapodo-ya-vanila

Kilimo cha Vanilla Tanzania: Changamoto, Ustawi na Mafanikio

Zao la vanilla lina thamani kubwa sana sokoni. Hata hivyo ni zao linalohitaji matunzao na uangalizi wa karibu sana ili liweze kukupa mafanikio stahiki. Lakini pia ni vizuri ufanye utafiti juu ya bei na soko lake kabla hujaanza uzalishaji ili usije kusumbuka kutafuta soko wakati uanakribia kuvuna.

Nanasi

Jinsi ya kufanya Kilimo cha Nanasi

Nanasi linalitaji hali ya hewa ya joto. Mwinuko wa mita 1300 hadi 1750 hufaa zaidi kwa uzalishaji wa nanasi kwaajili ya kilimo cha nanasi, ...

Matango yaliyo komaa

Fahamu Kilimo Cha Matango (Cucumber)

Matango, kutegemeana na aina ya mbegu, huvunwa kuanzia mwezi mmoja na nusu hadi miwili baada ya kupanda. Matunda yanatakiwa kuwa na urefu wa sm 15 hadi 20.

Mahindi

Kilimo cha Kisasa cha Mahindi

Kulingana na msimu kilimo cha mahindi huanza mwanzoni mwa mwezi wa 11 baada ya mvua za kwanza kunyesha ambayo huvunwa mwezi Machi mwishoni au aprili mwanzoni.

Magonjwa ya Kuku

IIi uweze kudhibiti magonjwa ya kuku yanayotokea katika kundi lako unahitaji kufahamu dalili za jumla za magonjwa hayo. Unapoigundua moja…

Aina-mpya-za-mbegu

Aina 29 Mpya za Mbegu za Mazao

Hizi ni aina mpya za mbegu za mazao ya mahindi, mpunga, alizeti, karanga na chai. Kutokana na ubora wake mbegu hizi zitaongeza tija na kipato kwa mkulima.