Kanuni za Kilimo Bora cha Alizeti Tanzania
Udongo wa tifutifu hasa wenye rutuba ya kutosha na tindikali kuanzia pH 6.0 hadi 7.5 unafaa sana kwa kilimo cha alizeti.
Udongo wa tifutifu hasa wenye rutuba ya kutosha na tindikali kuanzia pH 6.0 hadi 7.5 unafaa sana kwa kilimo cha alizeti.
Ni muhimu kujua jinsi ya kuandaa na kutunza kitalu cha miche ya mbogamboga kwa sababu mazao mengi ya mboga mboga huhitaji kuanzia kitaluni ili yaweze ku...
This is a redirected post. 404 – Page not found | Mogriculture Tz
Ni muhimu kuchagua eneo linalofaa kwa kilimo cha pilipili hoho kabla ya kuanza uzalishaji. Ni vyema eneo litakalotumika katika kilimo cha pilipili hoho ...
Kilimo cha bamia huchukua muda mfupi sana, bamia huchukua siku 50 hadi 60 kuanza kuvuna. Huwa tayari kuvunwa siku tano tangu kutoka kwa maua zikiwa changa ..
Ni muhimu kuchagua eneo linalofaa kwa kilimo cha bamia kabla ya kuanza uzalishaji. Ni vyema eneo litakalotumika katika kilimo cha bamia liwe...
Unapoanzisha mradi wa kilimo biashara, unatarajia mwisho wa siku uumalize kwa kupata faida, sasa haya hapa mambo makubwa mawili unayotakiwa kuyajua kabla hujaanza mradi wako wa kilimo biashara.
Muhogo ni zao la jamii ya mizizi. Kilimo cha muhogo hustawi vizuri katika maeneo yaliyopo kwenye mwinuko wa mita 0 hadi 1500 toka usawa wa bahari.
Ndugu mkulima, ili ufanye kilimo bora na cha kisasa cha mahindi, Mogriculture Tz inakuasa kuachana na matumizi ya mbegu za…
Natarajia mpaka mwisho wa wa makala hii ujifunze mambo unayotakiwa kufanya ili ujue thamani ya mazao yako na uweze kupanga bei ya mazao yako mwenyewe yenye kukuletea faida bila ya kushawishiwa na madalali.
Funza wa vitumba ni nondo, na ni mdudu mharibifu maarufu wa kunde na maharage mengine kote Afrika Mashariki na Magharibi.…
Urahisi wa kilimo cha maharage na faida zake lukuki ni kivutio kwa watu wengi lakini bila kufuata muongozo wa kitaalam ni ndoto kwa mkulima kupata mavuno mengi.
Nyanya hulimwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Hapa nchini, kilimo cha nyanya ni cha kwanza katika mazao ya mbogamboga ...
Utangulizi Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma…

Mkulima ni lazima ajifunze jinsi ya kulima mpunga kabla hajajiingiza kwenye kilimo cha mpunga. Mkulima anatakiwa kujua mbegu bora za mpunga, hatua muhimu...
Ili uweze kubaini mapema uwepo wa wadudu waharibifu au magonjwa katika mimiea yako ya nyanya ni lazima uwe unachunguza mimea yako mara kwa mara. Angalia ...
Pamoja na umuhimu wake, magonjwa ya nyanya yamekuwa ni kikwazo kikubwa sana katika uzalishaji na ubora wa matunda ya nyanya. Hivyo basi ili mkulima aweze ...
Pilipili manga (au pilipili mtama) ni zao la kiungo, linalimwa kwa ajili ya matumizi yake kwenye mapishi. Kufanya kilimo cha pilipili manga ni rahisi sana ...
Katika kipindi kilichopita tuliona mahitaji ya zao la vanilla na jinsi linavyolimwa, sasa leo napenda kukukaribisha ndugu yangu mkulima katika sehemu…