Unataka kufanya kilimo kuwa biashara yenye faida?
Tunasaidia wakulima na wafugaji wa kuku kufanya maamuzi sahihi kupitia ushauri wa kitaalam na miongozo ya vitendo inayolenga kuongeza uzalishaji, kupunguza hasara, na kuboresha faida ya kilimo chako.
Ushauri Kilimo
Tunatoa ushauri wa kitaalamu kwa wakulima wa mazao na wafugaji wa kuku wanaotaka kufanya kilimo kama biashara yenye faida, sio kubahatisha.
Tunakusaidia wakulima …
Kutambua kwa usahihi magonjwa ya mazao na kuku
Kupanga ratiba sahihi ya mbolea, viuatilifu na uzalishaji
Kuepuka hasara zinazotokana na maamuzi ya kubahatisha
Kuongeza mavuno na faida kwa njia za kitaalamu
- Kuandaa mipango ya biashara ya kilimo au ufugaji wa kuku.
Huduma hii inakufaa ikiwa unalima au unajiandaa kuwekeza kwenye kilimo, unataka kilimo kiwe biashara, sio majaribio, na uko tayari kulipia ushauri wa kitaalamu na kufuata maelekezo.

Wataalam wazoefu
Utashauriwa na wataalam wabobezi katika kilimo, na sio watu tu. Wataalam wetu wana ujuzi na uzoefu wakutosha kwenye sekta ya kilimo. Hivyo, upo kwenye mikono salama.
Pembejeo bora
Tunazo pembejeo zilizothibitishwa na zenye ubora wa kuamika. Tutakupa mbegu bora za mazao, mbolea safi na viuatilifu vyenye ubora.
Weledi na Uadilifu
Weledi na Uadilifu ni nguzo muhimu katika utoaji wa huduma zetu. Tegemea kuhudumiwa kwa weledi na wakati wote huo amana yako itakuwa kwenye mikono salama.

Vitabu vya Kilimo Biashara
Je, umechoka kulima kwa mazoea na kupata hasara?
Tumekuandalia miongozo ya kilimo biashara kwa mfumo wa PDF. Vitabu hivi vina mbinu za kitaalam zitakazokuwezesha kujifunza na kufanikiwa kwenye kilimo, kuanzia kuandaa shamba, kuchagua mbegu bora, kupanda, utunzaji wa shamba hadi kuvuna. Bila kusahau, uchambuzi kamili wa bajeti ya kilimo (gharama za uzalishaji katika kila hatua), pamoja na makadirio ya faida utakayopata.
Fanya maamuzi sahihi leo, wekeza kwenye maarifa ili uwekeze pesa yako kwenye mradi unaoujua vizuri.
- HOT
[PDF] Mwongozo wa Kilimo cha Vitunguu saumu
Sh 12,000 - HOT
[PDF] Mwongozo wa kilimo cha Vitunguu maji
Sh 12,000 - HOT
[PDF] Mwongozo wa Kilimo cha Nyanya
Sh 12,000 - HOT
[PDF] Mwongozo wa Kilimo cha Matikiti maji
Sh 12,000
Shuhuda za wateja wetu
Miongozo yenu imenibariki sana!
Vitabu vinaeleweka. Nimejifunza mengi!
Punguzo la 17% kwa kila kitabu
Chagua kitabu chochote na upate punguzo la 17% sasa hivi. Bofya link hapa chini kupata offer hii …
