Jukwaa la Mkulima

 
Notifications
Clear all

Jukwaa la Mkulima

KILIMO CHA MAZAO

Mazao ya Mbogamboga na Matunda

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya mbogamboga kama vile nyanya, vitunguu maji, kabichi, bamia, pilipili hoho, karoti, na mboga za majani. Na mazao ya matunda kama vile matikiti, nanasi, matango, papai, ndizi, parachichi, machungwa na matunda mengi mengine.
Questions
3
Answers
0
Posts
5

Mazao ya Nafaka na Jamii ya Mikunde

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya nafaka kama vile mahindi, mpunga, mtama na mazao ya jamii ya mikunde kama vile maharage, soya, kunde, njegere, na mbaazi.
Questions
5
Answers
0
Posts
12

Mazao ya Mizizi, Viungo na Mafuta

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya mizizi kama vile muhogo, viazi vitamu, na viazi mviringo. Na mazao ya viungo kama vile vitunguu swaumu, tangawizi, vanilla, pilipili, binzari, karafuu na iliki. Lakini pia mazao ya mbegu za mafuta kama vile karanga, alizeti na ufuta.
Questions
5
Answers
1
Posts
8

Mazao ya Biashara

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya ambayo hulimwa maalumu kwa ajili ya kuchakatwa viwandani mfano muwa, korosho, mkonge, pamba, chai, kokoa na kahawa.
Questions
0
Answers
0
Posts
0

UFUGAJI

Ufugaji wa Kuku, Bata na Kanga

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji (asili), na kuku wa nyanya na kuku wa mayai. Lakini pia kwa ufugaji wa bata na kanga.
Questions
0
Answers
0
Posts
0

Ufugaji wa Samaki

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa aina zote za samaki. Kama vile kambale, sato, sangara, pelege, migebuka, na wengi wengine.
Questions
0
Answers
0
Posts
0

Ufugaji wa Ng'ombe, Mbuzi na Sungura

Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa wanyama maarufu; ng'ombe, mbuzi, sungura na kondoo.
Questions
0
Answers
0
Posts
0
Share:

Never Miss an Update

We will send you farming tips, tricks and available eBooks offers.

>