Notifications
Clear all
Jukwaa la Mkulima
KILIMO CHA MAZAO
Mazao ya Mbogamboga na Matunda
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya mbogamboga kama vile nyanya, vitunguu maji, kabichi, bamia, pilipili hoho, karoti, na mboga za majani. Na mazao ya matunda kama vile matikiti, nanasi, matango, papai, ndizi, parachichi, machungwa na matunda mengi mengine.
Questions
3
Answers
0
Posts
5
-
00Aina gani ya matango inazaa sana?replies 2
Mazao ya Nafaka na Jamii ya Mikunde
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya nafaka kama vile mahindi, mpunga, mtama na mazao ya jamii ya mikunde kama vile maharage, soya, kunde, njegere, na mbaazi.
Questions
5
Answers
0
Posts
12
Mazao ya Mizizi, Viungo na Mafuta
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya mizizi kama vile muhogo, viazi vitamu, na viazi mviringo. Na mazao ya viungo kama vile vitunguu swaumu, tangawizi, vanilla, pilipili, binzari, karafuu na iliki. Lakini pia mazao ya mbegu za mafuta kama vile karanga, alizeti na ufuta.
Questions
5
Answers
1
Posts
8
Mazao ya Biashara
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu kilimo cha mazao ya ambayo hulimwa maalumu kwa ajili ya kuchakatwa viwandani mfano muwa, korosho, mkonge, pamba, chai, kokoa na kahawa.
Questions
0
Answers
0
Posts
0
UFUGAJI
Ufugaji wa Kuku, Bata na Kanga
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji (asili), na kuku wa nyanya na kuku wa mayai. Lakini pia kwa ufugaji wa bata na kanga.
Questions
0
Answers
0
Posts
0
Ufugaji wa Samaki
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa aina zote za samaki. Kama vile kambale, sato, sangara, pelege, migebuka, na wengi wengine.
Questions
0
Answers
0
Posts
0
Ufugaji wa Ng'ombe, Mbuzi na Sungura
Hili ni jukwaa kwa ajili ya majadiliano yanayohusu ufugaji wa wanyama maarufu; ng'ombe, mbuzi, sungura na kondoo.
Questions
0
Answers
0
Posts
0